Imaam Ibn 'Uthaymiyn: Miongoni Mwa Alama Za Watu Wa Bid’ah Ni Taasubu (Kasumba) Na Kupinga Haki

 

Miongoni Mwa Alama Za Watu Wa Bid’ah Ni Taasubu (Kasumba) Na Kupinga Haki

 

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah)

 

 

Alhidaaya.com

 

 

 

 

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah) amesema:

 

“Ahlul-Bid’ah (watu wa bid’ah) wana alama kadhaa; miongoni mwazo ni kwamba wana taasubu (kasumba) katika rai zao wala hawarudi katika haki hata kama itawabainikia.”

 

[Majmuw’ Fataawaa wa Rasaail Ibn ‘Uthaymiyn (5/90)]

 

 

 

Share