Shaykh Fawzaan: Mafanikio Hutokana Kufuata Kitabu Cha Allaah Na Hidaaya Na Kujiepusha Na Bid’ah

 

Mafanikio Hutokana Kufuata Kitabu Cha Allaah Na Hidaaya Na Kujiepusha Na Bid’ah

 

Shaykh Swaalih bin Fawzaan Al-Fawzaan (Hafidhwahu Allaah)

 

Alhidaaya.com

 

 

 

Amesema Shaykh Swaalih Al-Fawzaan (Hafidhwahu Allaah):  

 

Ukitaka Mafaniko basi juu yako na mambo haya matatu:

 

  • Shikamana na Kitabu cha Allaah
  • Fuata mwongozo
  • Epukana na Bid’ah

 

[Sharh Al-Mandhwumah Al-Haaiyyah (Uk. 56)]

 

 

 

Share