11-Swahiyh Fiqh As-Sunnah: Kitabu Cha Ndoa: Haki Za Kutendeana Kati Ya Mke Na Mume: Haki Zinazompasa Mke Kumtendea Mumewe: 10-Ajipambe Na Ajitengeneze Kwa Ajili Yake

 

Swahiyh Fiqh As-Sunnah

 

كِتَابُ الزَّوَاجِ

 

Kitabu Cha Ndoa

 

الحُقُوْقُ بَيْنَ الزَّوْجَيْنِ

 

Haki Za Kutendeana Kati Ya Mke Na Mume

 

Alhidaaya.com

 

 

10:  Haki Zinazompasa Mke Kumtendea Mumewe: 10-Ajipambe Na Ajitengeneze Kwa Ajili Yake:

 

Kama ilivyotangulia nyuma kwenye Hadiyth, mwanamke bora zaidi ni yule ambaye mumewe akimuangalia anafurahika kutokana na anavyojiweka katika hali ya usafi na umaridadi nyakati zote.

 

 

 

Share