12-Swahiyh Fiqh As-Sunnah: Kitabu Cha Ndoa: Haki Za Kutendeana Kati Ya Mke Na Mume: Haki Zinazompasa Mke Kumtendea Mumewe: 11-Asimsimbulie Kama Atatumia Mali Yake Kwa Ajili Yake Na Watoto Wake
Swahiyh Fiqh As-Sunnah
كِتَابُ الزَّوَاجِ
Kitabu Cha Ndoa
الحُقُوْقُ بَيْنَ الزَّوْجَيْنِ
Haki Za Kutendeana Kati Ya Mke Na Mume
11: Haki Zinazompasa Mke Kumtendea Mumewe: 11-Asimsimbulie Kama Atatumia Mali Yake Kwa Ajili Yake Na Watoto Wake:
Kusimbulia kunaharibu thawabu na ajri kutoka kwa Allaah Anayesema:
"يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا لَا تُبْطِلُوا صَدَقَاتِكُم بِالْمَنِّ وَالْأَذَىٰ"
“Enyi walioamini! Msibatilishe swadaqah zenu kwa masimbulizi na udhia”. [Al-Baqarah: 264]
