12-Swahiyh Fiqh As-Sunnah: Kitabu Cha Ndoa: Haki Za Kutendeana Kati Ya Mke Na Mume: Haki Zinazompasa Mke Kumtendea Mumewe: 11-Asimsimbulie Kama Atatumia Mali Yake Kwa Ajili Yake Na Watoto Wake

 

Swahiyh Fiqh As-Sunnah

 

كِتَابُ الزَّوَاجِ

 

Kitabu Cha Ndoa

 

الحُقُوْقُ بَيْنَ الزَّوْجَيْنِ

 

Haki Za Kutendeana Kati Ya Mke Na Mume

 

Alhidaaya.com

 

 

 

11:  Haki Zinazompasa Mke Kumtendea Mumewe: 11-Asimsimbulie Kama Atatumia Mali Yake Kwa Ajili Yake Na Watoto Wake:

 

Kusimbulia kunaharibu thawabu na ajri kutoka kwa Allaah Anayesema:

 

"يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا لَا تُبْطِلُوا صَدَقَاتِكُم بِالْمَنِّ وَالْأَذَىٰ"

 

“Enyi walioamini!  Msibatilishe swadaqah zenu kwa masimbulizi na udhia”.  [Al-Baqarah: 264]

 

 

Share