16-Swahiyh Fiqh As-Sunnah: Kitabu Cha Ndoa: Haki Za Kutendeana Kati Ya Mke Na Mume: (ii) Haki Zinazompasa Mume Kumtendea Mkewe: Amruhusu Kutoka Kama Atamwomba Ruksa Kwenda Kwenye Swalaah Ya Jamaa Au Kuwatembelea Jamaa Zake Nk Ikiwa Mazingira Yako Salama
Swahiyh Fiqh As-Sunnah
كِتَابُ الزَّوَاجِ
Kitabu Cha Ndoa
الحُقُوْقُ بَيْنَ الزَّوْجَيْنِ
Haki Za Kutendeana Kati Ya Mke Na Mume
15: Haki Zinazompasa Mume Kumtendea Mkewe: 12-Amruhusu Kutoka Kama Atamwomba Ruksa Kwenda Kwenye Swalaah Ya Jamaa, Au Kuwatembelea Jamaa Zake Na Kadhalika Ikiwa Mazingira Yako Salama:
Ikiwa mazingira yako salama kutoka, basi ni vyema mume amruhusu. Kutoka kwenda kwenye mambo hayo, kuna faida kubwa kwa mwanamke na hata kwa mumewe pia.
