106 - Quraysh

 

  قُرَيْش

 

106-Quraysh

 

106-Quraysh: Utangulizi Wa Suwrah

 

Alhidaaya.com 

 

 

بِسْمِ اللَّـهِ الرَّحْمَـٰنِ الرَّحِيمِ

 

 

لِإِيلَافِ قُرَيْشٍ ﴿١﴾

1. (Tumewaangamiza watu wa tembo) ili Maquraysh wapate kuendelea na mazoea.[1]

 

 

إِيلَافِهِمْ رِحْلَةَ الشِّتَاءِ وَالصَّيْفِ ﴿٢﴾

2. Mazoea yao ya safari (za kibiashara) za majira ya baridi na majira ya joto.

 

 

 

 

فَلْيَعْبُدُوا رَبَّ هَـٰذَا الْبَيْتِ ﴿٣﴾

3. Basi wamuabudu Rabb wa Nyumba hii (Ka’bah).

 

 

الَّذِي أَطْعَمَهُم مِّن جُوعٍ وَآمَنَهُم مِّنْ خَوْفٍ ﴿٤﴾

4. Ambaye Anawalisha kuwaokoa na njaa, na Anawapa amani kutokana na khofu.

 

 
Share