Imaam Ibn Rajab: Kusherehekea Siku Ambazo Hazimo Katika Shariy’ah Ni Bid’ah

Kusherehekea Siku Ambazo Hazimo Katika Shariy’ah Ni Bid’ah

 

Imaam Ibn Rajab Al-Hanbaliy

 

www.alhidaaya.com

 

 

Hakuna Shariy’ah kwa Waislamu kusherehekea siku yoyote ile isipokuwa ambayo imetajwa katika Shariy’ah kuwa ni siku za kusherehekewa.

 

Na siku ambazo zimewekewa Shariy’ah ni ‘Iydul-Fitwr, na ‘Iydul-Adhwhaa, na masiku ya Tashriyq, na siku ya Ijumaa.

 

Na ni bid’ah kufanya siku yoyote ile kuwa ni siku ya sherehe siku ambazo hakuna dalili katika Shariy’ah ya kufanya hayo.

 

[Latwaaif Al-Ma’aarif (228)]

 

 

Share