06-Imaam Ibn ‘Uthaymiyn: Akijitoa Manii Swawm Inabatilika Na Je, Anawajibika Kafara?

Akijitoa Manii Swawm Inabatilika Na Je, Anawajibika Kafara?

 

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah)

 

www.alhidaaya.com

 

 

SWALI:

 

Je, kutoa manii kunabatilisha Swawm? Na je, anapaswa kulipa kafara?

 

 

JIBU:

 

Mtu akitoa manii Swawm yake inabatilika, inabatilika na mtu analazimika kulipa siku hiyo na kufanya tawbah [kwa kuwa ni haramu].

 

Kulipa kafara ni pindi mtu anapofanya jimai wakati wa Swawm.

 

 

[Imaam Muhammad Swaalih Ibn 'Uthaymiyn - Fataawa Arkaanil-Islaam, uk. 478]

 

 

Share