08-Imaam Ibn Baaz: Vipi Kuzifunga Swiyaam Za Sitta Shawwaal?

   Vipi Kuzifunga Swiyaam Za Sitta Shawwaal?

 

Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah)

 

www.alhidaaya.com

 

 

Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah) amesema:

 

"Muumini huchagua atakavo kuzifunga katika mwezi wote; akitaka afunge mwanzo wake, au katikati yake au mwishoni mwake, na akitaka afunge kwa kutofululiza, na akitaka afululize."

 

 

[Al-Fataawaa (15/390)]

 

 

 

 

Share