Shaykh Fawzaan: Salafiyyah Ni Manhaj Ya Haki Tunawajibika Kuifuata

Salafiyyah Ni Manhaj Ya Haki Tunawajibika Kuifuata 

 

Shaykh Swaalih Bin Fawzaan (Hafidhwahu Allaah)

 

www.alhidaaya.com

 

 

Shaykh Swaalih Al-Fawzaan (Hafidhwahu Allaah) amesema:

 

Usalafi ni Manhaj ya haki ambayo tunawajibika kuifuata na kuacha manhaj nyinginezo zinazokwenda kinyume nayo.

 

 

[Al-Bayaan Li-Akhtwaa-i Ba'dhw Al-Kuttaab, uk. 42] 

 

Share