Imaam Ibn Al-Qayyim: Kuwafanyia Watu Ihsaan Ni Sababu Mojawapo Ya Furaha Ya Nyoyo

 

Kuwafanyia Watu Ihsaan Ni Sababu Mojawapo Ya Furaha Ya Nyoyo

 

Imaam Ibn Al-Qayyim (Rahimahu-Allaah)

 

www.alhidaaya.com

 

 

 

Imaam Ibn Al-Qayyim (Rahimahu-Allaah) amesema:

 

 

 “Kwa hakika mtu Mkarimu, Muhsin, moyo wake unafunguka kwa watu, na ni mwenye nafsi nzuri, mwenye moyo ulioneemeshwa. Ama bakhili ambaye hana Ihsaan ni mtu mwenye kifua chenye dhiki zaidi, mwenye maisha ya shari na hisia mbaya na mwenye ghamu na humumi nyingi. ”

[Zaad Al-Ma’ad fiy Hadyi  Khairil-‘Ibaad (2/22)]

 

 

 

 

 

Share