Imaam Ibn 'Uthaymiyn: Mtu Aliyetubia Dhambi Asitaje Dhambi Zake Kwa Watu Bali Ajisitiri

Mtu Aliyetubia Dhambi Asitaje Dhambi Zake Kwa Watu

 

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah)

 

Alhidaaya.com

 

 

 

Imaan Ibn Uthaymiyn (Rahimahu Allaah) amesema:

 

Haifai kwa mtu aliyetenda dhambi na akatubia kutokana na dhambi hiyo, kisha kumuambia mtu kuwa yeye alifanya dhambi, kwani kufanya hivyo ni kuikashifu stara ya Allaah (‘Azza wa Jalla) kwako.

 

[Fataawaa Muhammad bin Swaalih Al-‘Uthaymiyn (1/14)]                  

 

Share