Imaam Ibn Baaz: Kufukia Kucha Nini Hukmu Yake?

 

Kufukia Kucha Nini Hukmu Yake?

 

Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah)

 

Alhidaaya.com

 

 

 

 

 Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah) amesema katika kujibu swali:

 

“Jambo hili (la kufukia kucha) halina asili (katika dini), mtu akikata kucha zake anaweza kuzitupa na hakuna neon, hivyo hakuna haja ya kuzifukia”

 

 

 [Fataawaa Nuwr ‘Ala Ad-Darb (5/6)]                

 

 

 

Share