Imaam Ibn Al-Qayyim: Kunywa Asali Na Maji Tumbo Likiwa Halina Kitu Ni Hifadhi Ya Siha

 

Kunywa Asali Na Maji Tumbo Likiwa Halina Kitu Ni Hifadhi Ya Siha

 

Imaam Ibn Al-Qayyim (Rahimahu Allaah)

 

Alhidaaya.com

 

 

 

 

Amesema Imaam Ibn Al-Qayyim (Rahimahu Allaah)

 

 

“Katika hilo la kunywa asali na maji (ya vuguvugu) tumbo likiwa tupu kuna siri ya ajabu katika kuhifadhi afya ya mtu, halidiriki hili isipokuwa mtu mwerevu.”

 

[Zaad Al-Ma’aad (35/4)]

 

 

 

 

Share