06-Swahiyh Fiqh As-Sunnah: Kitabu Cha Ndoa: Haki Za Kutendeana Kati Ya Mke Na Mume: Haki Zinazompasa Mke Kumtendea Mumewe: 5-Asifunge Swawm Ya Sunnah Ilhali Mumewe Yuko Ila Kwa Ruhusa Yake:

 

Swahiyh Fiqh As-Sunnah

 

كِتَابُ الزَّوَاجِ

 

Kitabu Cha Ndoa

 

الحُقُوْقُ بَيْنَ الزَّوْجَيْنِ

 

Haki Za Kutendeana Kati Ya Mke Na Mume

 

Alhidaaya.com

 

 

 

05:  Haki Zinazompasa Mke Kumtendea Mumewe: 5-Asifunge Swawm Ya Sunnah Ilhali Mumewe Yuko Ila Kwa Ruhusa Yake:

 

Ni kwa neno lake Rasuli (Swalla Allaah ‘alayhi wa aalihi wa sallam):

 

"لَا يَحِلُّ لِلْمَرْأَةِ أَنْ تَصُومَ وَزَوْجُهَا شَاهِدٌ إِلَّا بِإِذْنِهِ" 

 

“Si halali mwanamke kufunga ilhali mumewe yuko ila kwa idhini yake”.  [Al-Bukhaariy (5195), At-Tirmidhiy (782) na Ibn Maajah (1761)]

 

 

Share