14-Swahiyh Fiqh As-Sunnah: Kitabu Cha Ndoa: Haki Za Kutendeana Kati Ya Mke Na Mume: Haki Zinazompasa Mke Kumtendea Mumewe: 13-Asifanye Lolote Linalomuudhi Au Kumkasirisha

 

Swahiyh Fiqh As-Sunnah

 

كِتَابُ الزَّوَاجِ

 

Kitabu Cha Ndoa

 

الحُقُوْقُ بَيْنَ الزَّوْجَيْنِ

 

Haki Za Kutendeana Kati Ya Mke Na Mume

 

Alhidaaya.com

 

 

13:  Haki Zinazompasa Mke Kumtendea Mumewe: 13-Asifanye Lolote Linalomuudhi Au Kumkasirisha:

 

Rasuli (Swalla Allaah ‘alayhi wa aalihi wa sallam) amesema:

 

 "لَا تُؤْذِي امْرَأَةٌ زَوْجَهَا فِي الدُّنْيَا إِلَّا قَالَتْ زَوْجَتُهُ مِنَ الْحُورِ الْعِينِ: لَا تُؤْذِيهِ قَاتَلَكِ اللَّهُ، فَإِنَّمَا هُوَ عِنْدَكِ دَخِيلٌ يُوشِكُ أَنْ يُفَارِقَكِ إِلَيْنَا"

 

“Hakuna mwanamke yeyote anayemkera mumewe hapa duniani, isipokuwa mke wake mmoja katika mahurul-‘ayn humwambia:  Usimsumbue,  Allaah Akulaani, huyo kwako ni mgeni wa kupita tu, karibuni atakuacha aje kwetu”.  [At-Tirmidhiy (1184) na Ibn Maajah (2014) kwa Sanad Hasan]

 

Share