15-Swahiyh Fiqh As-Sunnah: Kitabu Cha Ndoa: Haki Za Kutendeana Kati Ya Mke Na Mume: Haki Zinazompasa Mke Kumtendea Mumewe 14-Aamiliane Vyema Na Wazazi Wake Na Jamaa Zake
Swahiyh Fiqh As-Sunnah
كِتَابُ الزَّوَاجِ
Kitabu Cha Ndoa
الحُقُوْقُ بَيْنَ الزَّوْجَيْنِ
Haki Za Kutendeana Kati Ya Mke Na Mume
14: Haki Zinazompasa Mke Kumtendea Mumewe: 14-Aamiliane Vyema Na Wazazi Wake Na Jamaa Zake:
Hili bila shaka litazidisha heshima na penzi toka kwa mumewe na kutoka kwa wazazi wake na jamaa zake kiujumla. Na hii pia ni dalili ya kuwa huyo ni mke mwema aliyeleleka juu ya maadili mema ya kidini.
