08-Al-Lajnah Ad-Daaimah: Zakaatul-Fitwr Igaiwe Kwa Mtu Mmoja Au Watu Mbali Mbali?

 

 

Zakaatul-Fitwr Igaiwe Kwa Mtu Mmoja Au Watu Mbali Mbali?

 

Al-Lajnah Ad-Daaimah

 

www.alhidaaya.com

 

 

 

SWALI:

 

Je, Zakaatul-Fitwr ni kwa ajili ya mtu mmoja pekee au igaiwe kwa wengi?

 

JIBU:

 

AlhamduliLLaah

 

 

Inaruhusiwa kutoa Zakaatul-Fitwr kwa mtu mmoja kwa ajili ya mtu   mmoja na inaruhusiwa pia kuigawa kwa watu zaidi ya mmoja.

 

Na Allaah ni Mweza wa yote.

 

[Fataawaa Al-Lajnah (1204)]

 

 

 

 

 

Share