Imaam Ibn Al-Qayyim: Ikhtilaatw Ni Asili Ya Balaa Na Shari Na Sababu Ya Kuteremshwa Adhabu

Ikhtilaatw Ni Asili Ya Balaa Na Shari Na Sababu Ya Kuteremshwa Adhabu

 

Imaam Ibn Al-Qayyim (Rahimahu Allaah)

 

www.alhidaaya.com

 

 

Imaam Ibn Al-Qayyim  (Rahimahu Allaah) amesema:

 

Hakuna shaka kwamba kuwawezesha (kuwaachia) wanawake wakafanya ikhtilaatw na wanaume, ni chanzo cha kila balaa na shari, nayo ndio sababu kuu ya kuteremshwa adhabu kwa wote.

 

 

[Atw-Twuruq Al-Hukmiyyah (329)]

 

 

Ikhtilaatw: Kuchanganyika wanawake na wanaume wasio mahaarim zao.

 

 

Share