Imaam Ibn Baaz: Hajj: Vipi Kuigawa Nyama Ya Udhwhiyah

Vipi  Kuigawa Nyama Ya Udhw-hiyah

 

Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah)

 

www.alhidaaya.com

 

SWALI:

 

Vipi mchinjaji Udhw-hiyah aigawe nyama?

 

 

JIBU:

 

Sunnah kwa mchinjaji ni aile baadhi yake, na aigawe baadhi yake kama zawadi kwa jamaa wa karibu na majirani, na aitolee swadaqah baadhi yake.

 

[Majmuw’ Fataawa (18/38)

 

 

 

 

 

Share