Skip to main content

Imaam Ibn Baaz: Kumsomea Maiti Qu-raan Nyumbani Kaburini Baada Siku Arubaini Haijuzu

Imaam Ibn Baaz

Kumsomea Maiti Qu-raan Nyumbani Kaburini Baada Siku Arubaini Haijuzu

Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah)

Alhidaayah.com

Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah) amesema:

Haipo ki-Shariy’ah suala la kusoma Qur-aan kwa ajili ya mtu aliekufa, si nyumbani kwake na wala si makaburini, si siku ya arubaini na wala si siku nyingine yeyote ile kwa makusudio haya, bali hii ni katika Bid’ah (uzushi) ambayo watu waliizusha.

[Fataawaa Imaam Ibn Baaz]