Imaam Qataadah: Suhubianeni Na Swaalihina (Waja Wema) Ili Muwe Nao Au Muwe Kama Wao

Kauli Za Salaf: Jamii

Suhubianeni Na Swaalihina (Waja Wema) Ili Muwe Nao Au Muwe Kama Wao 

 

Imaam Qataadah (Rahimahu Allaah)

 

www.alhidaaya.com

 

 

 Imaam Qataadah (Rahimahu Allaah) amesema:

 

“Hakika sisi, Wa-Allaahi, hatukupata kuona mtu anayesuhubiana na watu isipokuwa huwa mfano wake na shakili yake. Basi suhubianeni na Swaalihina enyi waja wa Allaah, ili muwe pamoja nao na huenda mkawa mfano wao.”

 

 

[Al-Ibaanah (2/477)]