Imaam Ibn Baaz: Haijuzu Kuandika Chochote Katika Kaburi

Haijuzu Kuandika Chochote Katika Kaburi

 

Imaam Ibn Baaz (Rahimahu-Allaah)

 

www.alhidaaya.com

 

 

 

Imaam Ibn Baaz (Rahimahu-Allaah) amesema:

 

“Haijuzu kuandika lolote katika kaburi la maiti, si Aayaat za Qur-aan wala kuandika lolote lile. Haijuzu kuandikwa katika chuma wala bango wala popote kwengineko (kuwekwa juu ya kaburi).”

 

[Majmuw’ Fataawaa (9/378)]

Share