Imaam Ibn 'Uthaymiyn: Haijuzu Kujiombea Kufa Kwa Ajili Ya Balaa Inayokusibu

Haijuzu Kujiombea Kufa Kwa Ajili Ya Balaa Inayokusibu

 

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah)

 

www.alhidaaya.com

 

 

“Du’aa ya mtu kujiombe nafsi yake kufa ni haraam wala haijuzi kwa sababu Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: “Asitamani mmoja wenu mauti kwa ajili ya dhara iliyomfikia.” 

 

[Majumuw’ Al-Fataawaa (90)]

 

Share