Imaam Ibn 'Uthaymiyn: Maamkizi Ya Kiislamu (Assalaam ‘Alaykum) Kwa Sauti Ndio Sunnah

Maamkizi Ya Kiislamu (Assalaam ‘Alaykum) Kwa Sauti Ndio Sunnah

 

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaah)

 

Alhidaaya.com

 

 

 

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu Allaahu) amesema:

 

“Katika adabu za kutoleana Salaam ni kunyanyua sauti wakati wa kusalimiana iwe ni kwa sauti  ya wazi, na wala isiwe kwa sauti ya chini, kiasi kwamba hata anayesalimiwa hasikii. Basi na salimieni Salaam yenye kusikika, na iwe wazi, na hii ndio Sunnah.

 

 

[Mandhwumat Uswuwl  Al-Fiqhi Wa-Qawaaidihi  uk 187]

 

 

Share