024-Swahiyh Fiqh As-Sunnah: Kitabu Cha Vyakula Na Vinywaji: Kulila Tonge Likianguka Baada Ya Kulipangusa Uchafu

 

 

 

Swahiyh Fiqh As-Sunnah

 

كِتَابُ الأَطْعِمَةِ وَالأَشْرِبةِ وَمَا يَتَعَلَّقُ بِهِمَا

 

 Kitabu Cha Vyakula Na Vinywaji Na Yanayohusiana Na Viwili Hivi

 

Alhidaaya.com

 

 

Adabu Za Kula

 

024-Kulila Tonge –Likianguka- Baada Ya Kulipangusa Uchafu

 

 

 

 

8-  Kulila Tonge –Likianguka- Baada Ya Kulipangusa Uchafu

 

 

Toka kwa Jaabir amesema: Rasuli wa Allaah (Swalla Allaah ‘alayhi wa aalihi wa sallam) amesema:

 

"إِذَا وَقَعَتْ لُقْمَةُ أَحَدِكُمْ فَلْيَأْخُذْهَا ، فَلْيُمِطْ مَا كَانَ بِهَا مِنَ الأَذَى وَلْيَأْكُلْهَا ، وَلاَ يَدَعْهَا لِلشَّيْطَانِ‏"

“Likianguka tonge la mmoja wenu basi aliokote, kisha alipanguse uchafu uliolipata na alile, na wala asiliache kwa shaytwaan.”  [Hadiyth Swahiyh.  Imekharijiwa na Muslim (2033)].

 

 

Share