18-Swahiyh Fiqh As-Sunnah: Kitabu Cha Ndoa: Haki Za Kutendeana Kati Ya Mke Na Mume: (ii) Haki Zinazompasa Mume Kumtendea Mkewe: Mume Ajipambe Kwa Mkewe Kama Mkewe Anavyojipamba Kwa Ajili Yake
Swahiyh Fiqh As-Sunnah
كِتَابُ الزَّوَاجِ
Kitabu Cha Ndoa
الحُقُوْقُ بَيْنَ الزَّوْجَيْنِ
Haki Za Kutendeana Kati Ya Mke Na Mume
17: Haki Zinazompasa Mume Kumtendea Mkewe: 14-Mume Ajipambe Kwa Mkewe Kama Mkewe Anavyojipamba Kwa Ajili Yake:
Ibn ‘Abbaas amesema:
"إني لأحِبُّ أَنْ أَتَزَيَّنَ لِلْمَرْأَةِ كَمَا أُحِبُّ أَنْ تَتَزَيَّنَ لِيْ، لأَنَّ اللهَ تعالى يَقُوْلُ":
“Mimi kwa hakika ninapenda kujipamba kwa mke wangu kama ninavyopenda yeye kujipamba kwa ajili yangu. Kwa sababu Allaah Ta’aalaa Anasema:
"وَلَهُنَّ مِثْلُ الَّذِي عَلَيْهِنَّ بِالْمَعْرُوفِ"
“Nao wake wana haki kama ambayo (ya waume zao) iliyo juu yao kwa mujibu wa shariy’ah”. [Al-Baqarah: 228]
