20-Swahiyh Fiqh As-Sunnah: Kitabu Cha Ndoa: Haki Za Kutendeana Kati Ya Mke Na Mume: (ii) Haki Zinazompasa Mume Kumtendea Mkewe: Afanye Usawa Kati Yake Na Wake Wenza Wenzake Katika Chakula, Vinywaji, Mavazi Na Malazi

 

Swahiyh Fiqh As-Sunnah

 

كِتَابُ الزَّوَاجِ

 

Kitabu Cha Ndoa

 

 

الحُقُوْقُ بَيْنَ الزَّوْجَيْنِ

 

Haki Za Kutendeana Kati Ya Mke Na Mume

 

 

Alhidaaya.com

 

 

19:  Haki Zinazompasa Mume Kumtendea Mkewe: 16-Afanye Usawa Kati Yake Na Wake Wenza Wenzake Katika Chakula, Vinywaji, Mavazi Na Malazi:

 

Kutenda usawa kati ya wake ni jambo la waajib katika chakula, mavazi, nyumba na zamu za kulala.  Ama penzi, hilo liko nje ya uwezo wa kibinadamu, halidhibitiki.

 

 

 

Share