20-Swahiyh Fiqh As-Sunnah: Kitabu Cha Ndoa: Haki Za Kutendeana Kati Ya Mke Na Mume: (ii) Haki Zinazompasa Mume Kumtendea Mkewe: Afanye Usawa Kati Yake Na Wake Wenza Wenzake Katika Chakula, Vinywaji, Mavazi Na Malazi
Swahiyh Fiqh As-Sunnah
كِتَابُ الزَّوَاجِ
Kitabu Cha Ndoa
الحُقُوْقُ بَيْنَ الزَّوْجَيْنِ
Haki Za Kutendeana Kati Ya Mke Na Mume
19: Haki Zinazompasa Mume Kumtendea Mkewe: 16-Afanye Usawa Kati Yake Na Wake Wenza Wenzake Katika Chakula, Vinywaji, Mavazi Na Malazi:
Kutenda usawa kati ya wake ni jambo la waajib katika chakula, mavazi, nyumba na zamu za kulala. Ama penzi, hilo liko nje ya uwezo wa kibinadamu, halidhibitiki.
