Imaam Ibn ‘Uthaymiyn: Dunia Ni Pandikizo La Aakhirah Pandikiza Khayr Upate Mavuno Ya Kukuridhisha

Kauli Za Salaf: Taqwa-Ikhlaasw

 

Dunia Ni Pandikizo La Aakhirah Pandikiza Khayr Upate Mavuno Ya Kukuridhisha

 

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn  (Rahimahu Allaah)

 

Alhidaaya.com

 

 

Imaam Ibn 'Uthaymiyn (Rahimahu Allaah) amesema:

 

“Aliye na akili anaposoma Qur-aan na kutafakari, hutambua thamani ya dunia kwamba si chochote na kwamba ni pandikizo la Aakhirah. Kwa hiyo, tazama umepandikiza nini humo kwa ajili ya Aakhirah yako; ikiwa umepandikiza khayr basi bashiria kwa mavuno ambayo yatakuridhisha. Lakini ikiwa ni kinyume, basi umekhasirika duniani na Aakhirah.”

 

 

[Sharh Riyaadhw Asw-Swaaihiyn (3/358)]