Mashairi: Adui Wa Allaah
Muhammad Faraj Saalim As-Sa’ay
|
Bwana Mwenye Kumilki |
Mayahudi wahiliki |
|
Watoweke wasibaki |
Penye uso wa duniya |
|
|
|
|
Hawa wasio na haya |
Waovu tena wabaya |
|
Adui wa insaniya |
Na adui wako piya |
|
|
|
|
Nchi wanaiunguza |
Roho wanaangamiza |
|
Nyumba wanateketeza |
Ghaza inaangamiya |
|
|
|
|
Vijana wapukutika |
Vizuka waongezeka |
|
Watu wanamahanika |
Mayatima wanaliya |
|
|
|
|
Wanapiga kwa roketi |
Skuli na marikiti |
|
Kila pahali maiti |
Kote wameshaenya |
|
|
|
|
Waisilamu jasiri |
Wapigwa na makafiri |
|
Hapana alofikiri |
Kwenda kuwasaidiya |
|
|
|
|
Watu wote wamegoma |
Wengine wapiga ngoma |
|
Na wengine wakoroma |
Hawataki kusikiya |
|
|
|
|
Damu hii ni nzito |
Inakwenda kama mito |
|
Wazee hata watoto |
Wanawake nao piya |
|
|
|
|
Hawana wanachojali |
Hawana hata muhali |
|
Hata mahospitali |
Pia wanashambuliya |
|
|
|
|
Ya Ilahi ya Manani |
Irudishe yetu shani |
|
Turudi kama zamani |
uma ulotanguliya |
|
|
|
|
Neno letu liwe moja |
Pasiwepo na kungoja |
|
Tuwapige kwa pamoja |
Kwa uwezo wa Jaliya |
|
|
|
|
Kama yule mwanamama |
Alotekwa na waroma |
|
Waa Muutasima |
Kwa sauti aliliya |
|
|
|
|
Muutasima akasema |
Ewe mbwa wa Waroma |
|
Umuache huyo mama |
Ama utajijutiya |
|
|
|
|
Jeshi akasimamisha |
Tena kubwa la kutisha |
|
Warumi hawakubisha |
Wakaikunja mikiya |
|
|
|
|
Mola wetu ya Manani |
Turudishie imani |
|
Turudi kama zamani |
Wakati wa Salafiya |
|
|
|
|
Tuungane kwa pamoja |
Neno letu liwe moja |
|
Sote tuwe nguvu moja |
Enzi zetu kurudiya |
|
|
|
|
Adui atuhofiye |
Iondoke miye miye |
|
Kila kitu kiwe siye |
Uma wa Muhamadiya |
|
|
|
|
Aridhi tuwashe moto |
Wakubwa pia watoto |
|
Kwa risasi na kokoto |
Tuanze kushambuliya |
|
|
|
|
Tulikuwa maamiri |
Kwao hawa makafiri |
|
Wakifuata amri |
Kila tunachowambiya |
|
|
|
|
Hata hivyo hatukuwa |
Tukichinja na kuua |
|
Kila mtu alikuwa |
Na haki ilotimiya |
|
|
|
|
Sasa wao wanatamba |
Wanajifanya mamwamba |
|
Wamesahau yakwamba |
Inazunguka duniya |
|
|
|
|
Khaybari ya Yahudi |
Tulikulaza kifudi |
|
Jeshi letu litarudi |
La Muhamadi Nabiya |
|
|
|
|
Hamadi alishasema |
Naye mkweli daima |
|
Hakisimami Qiyaama |
Aridhi itarejeya |
|
|
|
|
Hiyo ni ahadi yake |
Kutoka kwa Mola wake |
|
Mkitaka msitake |
WaLlaahi mtakimbiya |
|
|
|
|
Mti wa gharqadi |
Ni mti wa Mayahudi |
|
Nyuma yake itabidi |
Mjifiche na kuliya |
|
|
|
|
Kisha humo mtatoka |
Huku mukipapatika |
|
Hamuwezi kutoroka |
Wala hata kukimbiya |
|
|
|
|
Watu hawa maluuni |
Mungu Ameshawalani |
|
Ndani ya Quruani |
Na hadithi za Nabiya |
|
|
|
|
WaLlaahi ninaandika |
Huku jasho lanitoka |
|
Na moyo kuungulika |
Kwa haya yanotokeya |
|
|
|
|
|
|
