Imaam Ibn Baaz: Haijuzu Kukosa Swalaah Ya Alfajiri Kwa Ajili Ya Kukesha Katika ‘Ibaadah

 

Haijuzu Kukosa Swalaah Ya Alfajiri Kwa Ajili Ya Kukesha Katika ‘Ibaadah

 

Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah)

 

www.alhidaaya.com

 

 

 

Imaam Ibn Baaz (Rahimahu Allaah) amesema: Haijuzu kukesha hadi kupoteza Swalaah ya Jamaa Alfajirii au kuiswali kwa wakati wake hata kama ni kukesha kwa ajili ya kusoma Qur-aan.

 

[Al-Fataawaa (10/390)]

 

 

 

 

 

 

 

Share