Imaam Ibn 'Uthaymiyn: Du’aa Kumuombea Mzazi Aliyefariki Katika Swalaah Ni Bora Kuliko Kumchinjia Mnyama

 

 

Du’aa Kumuombea Mzazi (Aliyefariki) Katika Swalaah Ni Bora Kuliko Kumchinjia Mnyama

 

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah)

 

www.alhidaaya.com

 

 

Imaam Ibn ‘Uthaymiyn (Rahimahu-Allaah) amejibu alipoulizwa swali kuhusu kumchinjia mzazi aliyefariki, Akajibu:

 

“Du’aa yako kumuombea mzazi wako (aliyefariki) katika Swalaah ya Taraawiyh au Swalaah ya Tahajjud ni bora zaidi kuliko kumchinjia mzazi wako ngamia kumi wa kike.”

 

 

[Liqaau Al-Baab Al-Maftuwh (115)]

 

 

Share